DAMIJA MK MAKENE MICHUZI MWANDANI NDESANJO CHARAHANI AISHA ABDI MAVAZI SHAMIM MAGGID WATANZANIA Jumuia ya Wanablogu wa Tanzania
UNO AU EAC TANZANIA EU NASA REUTERS IPP Muungano wa Vijana Duniani dhini ya UKIMWI TIG IPP
NITUMIE BARUA PEPE

Nipo!!
Monday, February 27, 2006
Habari za siku kadhaa wanaharakati wenzangu. Nilitoka ghafla kidogo nje ya mji hivyo nikawa nimebanwa na mtandao haujatandaa vya kutosha maeneo ya vijijini.

Leo nimepita kuwapa salamu na kuwajulisha kwamba nimerudi, kama umeme hautakatika, basi nitajitahidi nipitie blogu (nadhani neno la Kiswahili bado halijapatikana) zote ili kuwa na taarifa.

Tupo pamoja wajameni!!
Muandishi: Kaka Poli Saa: 11:52 am | Permalink |


3 Comments:


eXTReMe Tracker