DAMIJA MK MAKENE MICHUZI MWANDANI NDESANJO CHARAHANI AISHA ABDI MAVAZI SHAMIM MAGGID WATANZANIA Jumuia ya Wanablogu wa Tanzania
UNO AU EAC TANZANIA EU NASA REUTERS IPP Muungano wa Vijana Duniani dhini ya UKIMWI TIG IPP
NITUMIE BARUA PEPE

Mwelekeo Chanya wenye Ari Mpya, Kasi Mpya na Hoja Mpya!!
Friday, February 03, 2006
Ndesanjo amepuliza baragumu na wanaharakati kweli wamesikia kwani hii kasi wanayokuja nayo wenzetu mimi naiona ni ya dhamira za dhati kabisa katika kuleta ukombozi. Sina budi kuwakaribisha Jacob Lubuva Suala la ujambazi linaashiria mambo mengi sana ambapo sayansi na teknolojia pia mimi navihusisha kwa karibu sana. Pia ndugu yangu 'yohana mwezi wa kwanza' hapana ni January John karibu sana; suala kumuita Mrema Mh. siyo issue sana hata kwangu mimi pia, ila nakubaliana na wewe kabisa, ikiwezekana wampe hata cheo cha mshauri wa waziri Mwapachu katika masuala ya kudhibiti ujambazi Tanzania kwani naamini kabisa kichwani kwake kuna kisima cha weledi, mbinu na mikakati mbalimbali. 'Hotspot' ikija kuwa 'hotstop' sijui itakuwaje labda yeye mwenyewe atatuambia, hata hivyo nakukaribisha sana mwanaharakati. Kaka Boniface Makene hongera sana, na jitihada hizi zisambae kama wanavyosambaa mashahidi wa mnara wa mlinzi.

Karibuni
Muandishi: Kaka Poli Saa: 6:24 pm | Permalink |


0 Comments:


eXTReMe Tracker